Hassan Omar, DPP Haji attend wedding of K24 news anchor Juma Bhalo

Former Mombasa Senator Hassan Omar and the Director of Public Prosecutions (DPP) Noordin Haji, were among high profile guests who graced the wedding of K24 news anchor Ahmed Juma Bhalo on Friday.

An over the moon Bhalo could not hide his joy as he wedded Khadija Omar Abdalla in an Islamic wedding attended by colleagues and friends.

Hassan Omar, DPP Haji attend wedding of K24 news anchor Juma Bhalo

Speaking at the event, an emotional Bhalo told the attendees, “Mwanaume yeyote hii ni miongoni mwa ndoto ambazo kwamba ako nazo especially kwetu sisi kama waislamu kwa kuwa twafunzwa kamwaba kuo ni kutimiza nusu ya dini.

“Kwa hivyo kiufupi nina furaha sana. Kama ulivyotangulia kuona hapo awali nilikuwa nazungumza lakini machozi yanataka kutoka na machozi yanataka kutoka sio eti kwa sababu nasikitika, ni ile wanasema tears of joy.”

He added that he was officially off the market.

“Wengi walikuwa wakiniuliza na wapo hapa-Bhali utaoa lini, Bhalo utaoa lini. Lakini sasa leo nawaambia tayari nishaoa na Inshallah dua zao na wale wanaonitazama na wengine wote dua zao nazitaja kwamba ndoa hii iwe ni ndoa yenye kheri,” said Bhalo.

Asked about the bride he responded, “Siwezi sema mengi kumhusu… Ahmed Bhalo ni mtu ambaye anajulikana na pengine watu wataka kujua pengine huyu mtu mwingine ni nani lakini zaidi ya jina lake siwezi kukwambia mengi kumhusu.”